Alikiba na Vanessa Mdee kutumbuiza na Chris Brown Mombasa

Wawili hao watatumbuiza pamoja na Chris Brown, Oktoba 8, mwaka huu kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music.
“Mombasaaaaaa it’s ME N U this weekend. @mombasarocksfestival 👌💜🎤👑 #Juu #Niroge,” ameandika Vanessa kwenye Instagram.
Nyota wa Nigeria, Wizkid naye atatumbuiza kwenye tamasha hilo kubwa

Comments

Popular posts from this blog

NINI MAANA KIGOLI?. AU BINTI KIGOLI